Search This Blog

Friday, May 31, 2019

Nyota Zenu Leo Jumamosi 01 Jun 2019

NYOTA ZENU LEO JUMAMOSI 1/JUNI/ 2019

MAPACHA (  May 21- Juni 20)
Tumia siku ya leo kufanya mambo yako mwenyewe yale yote ambayo unayaona ni ya muhimu. Jitahidi kujenga umoja wako na wa familia yako.

KAA ( Juni 21- Julai 22)
Leo fikiria kuhusu maisha yako, yaweke kando mambo ambayo unayaona hayana maana maisha yako ni bora zaidi  kuliko jambo lolote jingine linalokukabili.

SIMBA (Julai 22-Agosti 22)
Kuwa makini kwa siku Siku mbili za weekend, Utakutana na  jamaa ambaye atakuhitajia sana umsaidie katika jambo la muhimu. Mpe anachohitaji kwa sababu na wewe utapata.

MASHUKE  (Agosti 23-Sep 23)
Leo una uwezo wa kufanya jambo lolote unalotaka kulifanya na hutopata pingamizi zozote. Ni siku nzuri ya kujumuika na watu na kuwasaidia watakaohitaji msaada wako

MIZANI  ( Sep 23-Oktoba 23)
Jitahidi kukamilisha  mambo  uliyowaahidi watu wako.. Kama ikiwa ni vigumu kwako kutimiza ahadi basi waome wasubiri lakini kamwe usiache

NGE (Oktoba 23-Nov  22)
Leo Kuna mambo muhimu ya kwako na ya watu wengine ambayolazima uyafanye ila tumia  busara. utapata msaada wa watu wengine.

MSHALE (Nov 22- Desemba 21)
Kaa na mtu wako wa karibu na unayemuamiani  mzungumze yaliyo moyoni kwako ili ipatikane suluhisho. utapata majawabu kwa matatizo yanayokukabili.

MBUZI ( Desemba 21- Jan 20)
Fanya kila njia usiwe mpweke. Kuwa  karibu na jamaa zako wape fikra zako na wasihi wakupe ushauri kutokana na changamoto  zinazokukabili.utafanikiwa

NDOO ( Jan 20- February 19)
Leo Jishughulishe na mambo mengi siyo jambo moja matatizo uliyonayo hivi sasa ni makubwa. jambo la muhimu kwako ni kuwa makini

SAMAKI ( February 20- March 20)
Leo Shirikiana na watu kwa sababu unaweza kupata maarifa ya kufanikisha mambo muhimu ila kuwa macho waongo ni wengi na wanafikiria namna ya kukudanganya

PUNDA ( March 20-April 20)
Leo itakuwa siku ya bahati mipango yako itakwenda kama unavyotarajia, Hali ya kukwama kwako ni ya muda tu baadae mambo yatakuwa mazuri.

NGOMBE( April 21- May 20)
Leo Usiwe na na hasira na usikasirike  hovyo bila  ya kuchokozwa na mtu yoyote. jizuie kushiriki katika magomvi na yoyote. Ni afadhali uonekane mjinga hasira hasara. 

                                              SHEIKHE ISAYA ANAWASHUKURU MWENYE Mungu kwa kumpa karama na uwezo wa kufundisha na kuwaombea dua viumbe wake. na anawashukuru wote mliorudi kutowa shukrani kwake. wengine mlioko nje ya nchi. shekhe isaya anatabiri nyota. kuondoa nussi mikosi. kutoa majini wabaya. kutafsiri ndoto. kumvuta na kumrundisha mmeo ama mkeo. kupata kazi. kupata cheo. kushinda kesi. kufaulu masomo nk na kama unaitaji kufatiria nyota yako kila siku. ingia katika pager yetu ya>>> Facebook >>tumaini tiba asili << au fika ofisini magomeni msikiti wa kiyungi simu au whatsapp +2557454951

www.tumainitibaasili.co.tz

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...