Natumai wote ni wazima
Juzi nilipanga kuonana na mpenzi wangu tutoke out weekend tukale bata ndogondogo za hapa mjini baada ya mihangaiko ya wiki nzima. Sijui ananipenda kiasi gani ila mimi nampenda sana.
Mchana wa juzi tulikutana nae na tukapanga kutoka usiku ila kilichotokea ni kwamba ilipofika saa 2 nikampigia simu akawa hapokei, baada ya muda nikasema maybe yupo busy sana ngoja niende kwake (sio mbali less than 1km) sina mazoea hayo ila siku hiyo moyo ulinisukuma kufanya hivyo. Nilipokaribia nikaona kuna gari (harrier) imepaki nje na yeye akaingia. Gari ilipoondoka ilikuja uelekeo nilipo na nikaona kuna mdingi ndani wao hawakuniona.
Baada ya mda akanitumia txt "bby nilikuwa naoga ntakuxtua". Nikajifanya boya nikamwambia poa. After that akaja kunijibu mda umeenda sana tutatoka next time.
Very easy nikamwambia asinitafute tena, japo nimeumia sana.
http://bit.ly/2XcRxw0
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment