Search This Blog
Saturday, May 25, 2019
Nilikuwa napenda kushindanishwa na Ruby, Mama yangu anampenda - Nandy
Msanii wa Muziki Bongo, Nandy amesema kuwa mama yake anampenda sana Ruby na anapenda muziki wake.
Kauli hiyo imekuja baada ya wasanii hao kushindanishwa mara nyingi mtandaoni, jambo ambalo Nandy amesema sio kitu kibaya kushindanishwa nae kwasasa msanii huyo ana uwezo.
"Mama anampenda sana Ruby anapenda muziki wake na tunasikiliza sana nyimbo zake, mimi kufanya kazi na Ruby bado hatujawaza japokuwa ni msanii mzuri na itakapofikia hatua ya kufanya kazi tutafanya tu," alisema Nandy.
"Hatujawahi kuwa karibu na namba yake sina, nilikuwa napenda kushindanishwa nae , ukishindanishwa na kitu kibaya ndio utachukia, ukishindanishwa na kitu kizuri inaonyesha na mimi uwezo wangu ni mzuri nilikuwa napenda na naona sawa tu."
http://bit.ly/2wmgYiA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment