Mufti wa Tanzania awakanya Diamond, Harmonize na wasanii wengine wanaofuturisha na kucheza nyimbo za kidunia (+video)
Godfrey Mgallah 14 hours ago 1,085
Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi amewataka waislamu ambao wanawafturisha waislamu wenzao waliofunga kufuata taratibu za dini na kuacha kufanya mambo ambayo yapo kinyume na taratibu.
Ameyasema hayo Jumapili hii katika Mashindano ya Kuhifadhi Quran Tukufu yaliyofanyika Diamond Jubilee ambapo mgeni rasmi alikuwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa.
Katika Iftar ya Harmonize iliyofanyika wiki iliyopita, alifanya show ya kutambulisha wimbo wake mpya wa kidunia ambapo wasanii kadhaa wa WCB akiwemo Diamond Platnumz walipanda jukwaaani na kuibua hisia tofauti kwa waislamu
http://bit.ly/2HRUtr6
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment