Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Mtanzania Apokea Zawadi Kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO)

Mtanzania Dk Askwar Hilonga wa Chuo Kikuu cha Nelson Mandela, Arusha amepokea zawadi kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kubuni njia ya kusafisha maji kwa kutumia 'nanotechnology.' Amepewa zawadi hiyo katika mkutano unaoendelea Jijini Geneva, Uswisi. 




http://bit.ly/2WriXkr

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...