Search This Blog

Wednesday, May 29, 2019

Mtangazaji wa kiume wa CNN atangaza kuolewa

Mtangazaji wa kimataifa wa kituo cha CNN Richard quest ameweka wazi kuwa anafunga ndoa.Tofauti na kupongezwa badhi ya mashabiki wake walishangazwa saana kufaahamu kuwa yupo kwenye mahusiano ya wapenzi wa jinsia moja.

Hata hivyo mashabiki wengine walionyeshwa kukerwa kwani hawakuwahi tegemea mtu anayewapasha habari kila siku anauhusiano na mwanaume mwenzie.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...