Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Lugola Awasimamisha Kazi Maofisa Watatu wa Jeshi la Polisi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola, amewasimamisha kazi Mkuu wa Polisi Wilaya ya Geita (OCD), Mkuu wa Kituo cha Polisi Geita(OCS) na Mkuu wa Upelelezi Wilaya hiyo (OC CID),kwa kosa la Mahabusu kutoroka Mahakamani. Na pia ameelekeza Askari 8 wa kituo hicho wawekwe Selo.

Mei 21, 2019 mahabusu 15 wanadaiwa kutoroka wakati wakisubiri kuitwa kwa ajili ya kesi zao.

Imeelezwa kuwa mahabusu hao walifungua mlango wa nyuma wakati askari wakiwa nje ya lango kuu la kuingia katika ukumbi walikokuwa wamewekwa. Hadi sasa mahabusu wanne wameshakamatwa.


http://bit.ly/2HQRcbQ

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...