Search This Blog
Sunday, May 26, 2019
Kutokujiamini ni Janga Kubwa la Wanaume wa Kibongo Mbele ya Wanawake
Bila hata kwenda mbali angalia Hizi Statement kadhaa za Wanaume Wasiojiamini:
1. Usimtambulishe Mkeo Utagongewa
2. Usioe mwanamke mzuri
3. Mwanamke mzuri hatulii kwenye ndoa
4. Usioe mwanamke aliekuzidi kipato
5. Usioe mchaga/muhaya
6. Usioe mwanamke aliekuzidi elimu
7. Kama wewe mfupi usitafute mwanamke mrefu
HIVI KWA NINI HAMJIAMINI?
Ukiangalia kwa wenzetu hii kitu ni tofauti sana ila hapa yaani ukidate mtu ambae hajiamini ni janga statement kama hizi hazimkauki mdomoni:
1. Sikuamini kabisa
2. I cant handle this relationship(Dude you cant handle her personality she is too smart)
3. You gat attitude(Noop ana vision ya hali ya juu wewe sio saizi yake.
NA WANAKAGUA SIMU HAO KAMA WAPELELEZI WA MAKOSA YA JINAI
Kujiamini ni credit kubwa sana kwa mwanaume wa kisasa
Hata ukiwa na ela kama hujiamini utaumwa ulcers.
~By Masai dada
http://bit.ly/2QrzteL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment