Search This Blog

Sunday, May 26, 2019

KUELEKEA SIKUKUU YA EID EL FITR, HIVI NDIVYO MAMBO YALIVYO KATIKA SOKO LA DARAJANI, ZANZIBAR

 Sehemu ya wakaazi wa maeneo mbalimbali ya mji wa Unguja, Zanzibar wakiwa wamefurika kwa wingi katika soko la Darajani ili kujipatia mahitaji mbalimbali kuelekea sikukuu ya Eid El Fitr, inayotazamiwa kuwa tarehe za mwanzoni mwa mwezi ujao, kufuatana na mwandamo wa mwezi baada ya mfungo mtukufu wa Ramadhan.










http://bit.ly/2YLr3Sz

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...