Search This Blog
Tuesday, May 28, 2019
Hamisa Mobetto aangukia mikononi mwa Christian Bella
Mwanamitindo, Mwimbaji na muigizaji, Hamisa Mobetto ameonyesha kuwa yupo mbioni kuachia wimbo wake mpya akiwa na Christian Bella.
Katika ukurasa wa Hamisa ameweka picha nyingi na Clip za video zikiwa zimesambaa mitandaoni huku zikionyesha wawili hao wako Dubai.
Tangu Mwadada huyo aanze kuachia nyimbo, huu utakuwa ni wimbo wake wa nne.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...


No comments:
Post a Comment