Search This Blog
Thursday, May 23, 2019
FIFA yasitisha mpango wa Kombe la Dunia kuwa na timu 48
Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) limesitisha mpango wa kuongeza nchi zitakazoshiriki Kombe la Dunia mwaka 2022 kutoka timu 32 hadi kufikia timu 48.
Rais wa Fifa Gianni Infantino mwaka jana alisema mpango wa kuongeza timu hizo kutoka 32 hadi 48 ambao ungelianza kutekelezwa mwaka 2026 urudishwe nyuma hadi mwaka 2022.
Hata hivyo, FIFA ilitathmini uwezekano wa Qatar peke yake mashindano hayo yenye timu 48 ikaona ni mdogo na ikaamua kusitisha mpango huo kutokana na changamoto ya ukosefu wa muda wa kutosha kufanya ukaguzi.
http://bit.ly/2HSGeT9
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment