Search This Blog

Tuesday, May 28, 2019

BREAKING: Lazaro Nyalandu Akamatwa na TAKUKURU

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa(TAKUKURU) imemkamata aliyekuwa mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu kwa mahojiano. 

Kamanda Polisi mkoani Singida Sweetbert Njewike amethibitisha.

Nyalandu alikua kwenye zoezi la ‘Chadema ni msingi’ ambapo TAKUKURU walifika wakiwa na silaha na kumchukua kwa nguvu na kutokomea nae kusikojulikana.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...