Mkuu wa shirika hilo ametoa taarifa hiyo leo akiongeza kusema kwamba uamuzi wa mwisho kuhusu suala hilo utatolewa na wasimamizi wa kampuni hiyo. Ndege za Boeing 737 Max zilizuiwa kuruka duniani mwezi Machi baada ya kutokea ajali mbaya nchini Ethiopia iliyouwa watu wote 157 waliokuwa ndani ya ndege hiyo, ambapo ilikuwa ni ajali ya pili kubwa katika kipindi cha miezi mitano kusababishwa na aina hiyo ya ndege ya Boeing.
Search This Blog
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment