Search This Blog
Monday, May 27, 2019
Beki huyu wa Simba SC atua Yanga
Wakati msimu wa Ligi Kuu Bara ukielekea ukingoni, tetesi za wachezaji kuhama klabu moja kwenda nyingine zimezidi kushika kasi.
Imeelezwa kuwa beki katili Lamine Moro raia wa Ghana aliyeichezea klabu ya Simba kwenye michuano ya Sportpesa Cup amewashatua Dar kumalizana na Yanga.
Moro alikuwa na Simba katika mashindano hayo ya SportPesa ikiwa ni sehemu yake ya majaribio.
Licha ya kucheza, Simba haikuonekana kuwa na nia naye na badala yake aliachwa akarejea kwao bila kupata mkataba.
http://bit.ly/2W3SFpa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...
-
Kiwanja kinauzwa kipo Dodoma Mahungu njia ya kwenda Singida kabala hujafika NALA. Kiwanja ni cha Makazi kinaukubwa wa Sqm 450 ( 15 X...
-
Akionekana kwa mara ya kwanza kwa umma tangu aondoke madarakani, aliyekuwa Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi uwezekano wa kuwania...

No comments:
Post a Comment