Search This Blog

Saturday, May 25, 2019

Bei ya Viwanja Imeshuka: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Bei ya Viwanja Imeshuka: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Tumeshusha sana bei za viwanja vilivyobaki ili kufunga mradi huu wa Viwanja kwa Bunju na Mapinga kama ifuatavyo:

Kwa Mapinga bei ya kiwanja cha sqm 2000 ilikuwa tsh 26 milion sasa imeshuka mpaka tsh 23 milion; bei ya kiwanja cha sqm 2400 ilikuwa tsh 31 milion sasa imeshuka mpaka tsh 27 milion.

Umbali kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road) ni km 2 tu, huduma za maji na umeme zipo. Viwanja viko flat na access roads zake zinapitika vizuri hata kama mvua imenyesha mwezi mzima mfululizo.

Kwa Bunju Kipo kiwanja cha sqm 1750, bei yake ni tsh 50 milion tu. kipo main road ya Dar to Bagamoyo.

Wahi uone viwanja hivi na ulipie tufunge mradi huu.
Namba za mmiliki ni 0758 603077 au whatsap 0757489709


http://bit.ly/2EA30hQ

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...