Search This Blog

Thursday, May 30, 2019

BAKWATA yatangaza tarehe ya sikukuu ya Idd

Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetoa taarifa kuwa sikukuu ya Eid El-Fitr itakuwa siku ya Jumatano Juni 5 au Alhamisi 06 Juni 2019,kutegemeana na kuandama kwa mwezi.

Sherehe za Eid El-Fitr kitaifa zitafanyika Tanga ambapo mgeni rasmi atakuwa Waziri Mkuu Majaliwa .



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...