Search This Blog

Friday, June 18, 2021

Nape: Serikali iweke ukomo wa mtu kukaimu nafasi


 Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye amesema tatizo la watu Kukaimu Nafasi kwa muda mrefu limekuwa kubwa, na kuhoji kama Serikali haioni haja ya kutunga Sheria ili iwe kosa kumkaimisha mtu kwa muda mrefu

Amesema, "Tutunge #Sheria ifikie ukomo kwa mwisho wa Kukaimu ni hapa. Mtu akipitiliza tuchukue hatua ili tuondokane na hili. Mtu anakaimu miaka 9 na hakuna mtu anachukuliwa hatua"



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...