Search This Blog

Saturday, August 15, 2020

Shilole Aomba Radhi Sakata Lake na Snura "ila Ukweli Itabaki Pale Pale"


Msanii wa muziki @officialshilole ameomba radhi kwa wale waliokwazika na kauli yake dhidi ya msanii mwenzake @snuramushi ambayo aliitoa na kuzua gumzo.

Shilole amedai alikuwa anatoa dukuduku lake na alifanya hivyo ila kama kuna mtu amekwazika basi anaomba msamaha.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...