Search This Blog

Saturday, August 1, 2020

Paul Makonda Kashindwa Kujizuia Katoboa Siri ya Diamond Platnumz Kwenda Kulipa Mahari

Mh Paul Makonda  Amethibitisha Mwezi Ujao Yeye Akiambatana Na Diamond Platnumz Kwenda Kutoa Mahari ,Japo Mwanamke Anayetaka Kuolewa Na Diamond Platnumz Hajawekwa Wazi Ni Yupi...Ameyasema hayo akiwa kwenye Sherehe ya harusi ya Esma Platnumz Usiku uliopita



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...