Mh Paul Makonda Amethibitisha Mwezi Ujao Yeye Akiambatana Na Diamond Platnumz Kwenda Kutoa Mahari ,Japo Mwanamke Anayetaka Kuolewa Na Diamond Platnumz Hajawekwa Wazi Ni Yupi...Ameyasema hayo akiwa kwenye Sherehe ya harusi ya Esma Platnumz Usiku uliopita
No comments:
Post a Comment