Search This Blog

Saturday, June 27, 2020

Mataifa ya Afrika Mashariki yatakiwa kuendelea kuwapokea wakimbizi




Mataifa ya Afrika Mashariki yametakiwa kufungua milango yao kuwapokea wakimbizi kutokana na kuendelea kwa mizozo nchini Somalia, Sudan Kusini na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo licha ya kuwepo kwa janga la COVID-19, Ushirika wa jumuiya za wakimbizi katika Pembe ya Afrika, Afrika Mashariki na Afrika ya Kati (HECA) imesema.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...