Search This Blog

Tuesday, February 4, 2020

Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini atia saini kitabu cha rambirambi Kenya kufuatia msiba wa Rais Moi


Balozi wa Tanzania nchini Afrika ya Kusini Meja Jenerali (mst) Gaudence Milanzi akiwa ubalozi wa Kenya jijini Pretoria atoa pole na kusaini kitabu cha rambirambi kufuatia kifo cha Rais Mstaafu wa Kenya Mzee Daniel Arap Moi, akiwa ndiye balozi wa kwanza kufanya hivyo katika mabalozi wanaowakikilisha nchi zao Afrika ya Kusini.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...