Search This Blog

Sunday, January 26, 2020

Arejesha Tsh Milioni 98 Alizopata Kwenye Kochi la Mtumba Alilonunua



Mkazi mmoja wa Owosso Michigan nchini Marekani, Howard Kirby. Amewashangaza wengi baada ya kukuta dola za Marekani 43,000 (Tsh. Milioni 98) zikiwa zimefichwa katika kochi la mtumba alilonunua, na kuamua kumtafuta mmiliki wa mwanzo wa kochi hilo na kumrudishia

Tukio hilo limewashangaza wengi na wengi humchukulia Howard kama shujaa wa zama hizi kwa tukio lake la kurudisha kiwango hiko cha pesa


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...