Search This Blog

Saturday, January 25, 2020

Ally Rehmtullah Azindua Duka la Kisasa la Mavazi Yaliyobuniwa na Wabunifu wa Tanzania

 
Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akiwa ameshika moja kati ya bidhaa zilizobuniwa na Mbinufu wa mitindo ya mavazi wa Tanzania, Ally Rehmtullah mara baada ya kuzindua duka la mavazi ya aina mbalimbali yaliyobuniwa na Rehmtullah. Hafla iliyofanyika leo Chole Road Masaki jijini Dar Es Salaam  
Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akizungumza  jambo na Mbinufu wa mitindo ya mavazi wa Tanzania, Ally Rehmtullah kwenye hafla ya uzinduzi wa duka la mavazi na mitindo yaliyobuniwa na wabunifu wa Tanzania
 
Naibu Waziri Habari, Utamduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Juliana Shonza akiwa kwenye picha ya pamoja na wabunifu mbalimbali


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...