Search This Blog

Monday, November 11, 2019

Prof. Kabudi akutana na Katibu Mtendaji wa SADC


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb) amekutana na Katibu Mtendaji wa SADC Dkt. Sigomena Tax jijini Dar es Salaam.

Dkt. Tax ametumia nafasi hiyo kumshukuru Prof. Kabudi ambaye ni Mwenyekiti wa Baraza la Mawaziri wa SADC kwa muongozo na ushirikiano mkubwa ambao SADC inaupata katika kufanikisha mipango ya SADC ambayo imepangwa kutekelezwa kwa mwaka huu hapa nchini.

Dr. Tax amesema mambo hayo yanaboresha utekelezaji wa agenda ya utengamano wa SADC kwa nchi wanachama



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...