Search This Blog
Wednesday, November 13, 2019
Mwanamuziki Prezzo afunguka tuhuma za kubakwa na wanawake watatu hadi kulazwa Hospitali
Msanii wa Kenya Prezzo amekanusha taarifa za kukimbizwa Hospitali na kulazwa baada ya Kubakwa na wasichana watatu hotelini.
Vyanzo vya habari nchini Kenya viliandika kwamba Prezzo amelazwa katika hospitali ya Karen mara baada ya kuchanganyiwa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Viagra na kulewa kisha Kubakwa na wasichana watatu katika chumba kimoja cha hoteli.
Kupitia ukurasa wake wa mtandao wa Instagram amesema taarifa hizo hazina ukweli wowote na yupo salama kabisa.
Ametangaza pia kuwachukulia hatua wote ambao wamekuwa wakimchafua kwa kuandika taarifa za kupotosha kuhusu yeye na muziki wake kwa ujumla.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment