Search This Blog
Saturday, November 2, 2019
Bakwata: Maadhimisho ya MAULID Kufanyika Novemba 09
Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mnamo Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza
Aidha, Baraza hilo limesema kuwa Baraza la Maulid litafanyika Kitaifa mnamo Novemba 10, 2019 katika Ukumbi wa Benki Kuu (BOT) Capripoint Mwanza kuanzia saa 9:00 Alasiri
BAKWATA imebainisha kuwa hayo yanajiri kutoka na kundama kwa mwezi siku ya Jumanne ya tarehe 29 mwezi wa 10 mwaka huu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment