Search This Blog

Saturday, November 2, 2019

Bakwata: Maadhimisho ya MAULID Kufanyika Novemba 09


Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) limetangaza kuwa mnamo Novemba 09, 2019 yatafanyika maadhimisho ya Kitaifa ya Maulid katika Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza

Aidha, Baraza hilo limesema kuwa Baraza la Maulid litafanyika Kitaifa mnamo Novemba 10, 2019 katika Ukumbi wa Benki Kuu (BOT) Capripoint Mwanza kuanzia saa 9:00 Alasiri

BAKWATA imebainisha kuwa hayo yanajiri kutoka na kundama kwa mwezi siku ya Jumanne ya tarehe 29 mwezi wa 10 mwaka huu

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...