Search This Blog

Sunday, October 27, 2019

Rais Trump Athibitisha Kifo cha Kiongozi wa Islamic State, Abu Bakr al-Baghdad


Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuuawa kwa kiongozi mkimbizi wa wapiganaji wa Islamic State (IS) kaskazini magharibi mwa Syria, Trump amesema Abu Bakr al-Baghdad alijilipua wakati alipozingirwa na kikosi maalum cha Marekani.

Amesema kuwa amekufa kama Mtu muoga na kama Mbwa. Abu Bakr al Baghdad hakuonekana hadharani tangu mwaka 2014.

Amejiua kwa mabomu aliyokuwa ameyavaa mwilini mwake. Washirika wake kadhaa pia wameuawa katika shambulio hilo lililofanywa na vikosi vya Marekani

Amemtangaza Baghdad kama msumbufu na kiongozi wa Kundi la Kigadi aliyekuwa akisakwa zaidi kwa sasa Ulimwenguni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...