Search This Blog

Tuesday, October 29, 2019

KATIBU NA MWENEZI CHADEMA LONGIDO WATIMKIA CCM.


Katibu wa CCM wilaya ya Londigo Ezekiel Mollel akionyesha kadi alizozipokea jana kutoka kwa wanachama wa Chadema
 Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Longido Ezekiel Mollel jana amewapokea wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),akiwepo katibu wa Chama hicho wilaya Mch Isaya Nguchika na mwenezi wake Emmanuel Rekali(Habari picha na Pamela Mollel)



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...