Search This Blog

Monday, October 14, 2019

Cristiano Ronaldo afikisha magoli 700


Mshambuliaji Cristiano Ronaldo sasa amefikisha mabao 700 katika maisha yake ya soka. Ronaldo, amefunga goli la kufutia machozi, Ureno ikifungwa 2-1 na Ukraine katika mechi ya kuwania kufuzu Euro 2020.

Takwimu zake zipo hivi;

1. Sporting Lisbon: 5
2. Manchester United: 118
3. Real Madrid: 450
4. Juventus: 32
5. Portugal: 95
Jumla: Magoli 700

- Mechi 9️7️6️
- Mabao 7️0️0️
- Hat-trick 5️4️
- Direct Freekicks 5️5️
- Penati 1️1️3️

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...