Search This Blog

Friday, September 13, 2019

Watoto 60 wa Makonda waendelea kuimarika kiafya


 Kati ya watoto 60 wanaosumbuliwa na tatizo la moyo aliojitolea RC Makonda kuwagharamia matibabu yao,Wazaizi wao wamefurahishwa na maendeleo yao, kiasi cha kutoa shukurani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar,Mh Paul Makonda,kufuatia afya zao kuendelea kuimarika siku hadi siku.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...