Search This Blog
Sunday, September 29, 2019
Rais Magufuli leo Kupokea Taarifa ya Waliomba Kutubu na Kurejesha Fedha Katika Kesi za uhujumu uchumi
Rais Magufuli leo kupokea taarifa ya waliomba kutubu na kurejesha fedha katika kesi za uhujumu uchumi
Posted On: September 30, 2019 5:41 Am GMT+0000 Posted By: Beatrice Comments: 0
Rais John Magufuli atapokea taarifa ya utekelezaji wa ushauri alioutoa wa kusamehe watuhumiwa wa uhujumu uchumi walio tayari kutubu na kurejesha fedha.
Kwa mujibu wa taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), Mganga Buswalo, atawasilisha taarifa leo majina ya saa 3:30 asubuhi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...


No comments:
Post a Comment