Search This Blog

Wednesday, September 18, 2019

Mchungaji Agongelewa Msumari Mdomoni Kisa Kuimba Mapambio



Mchungaji mmoja nchini Uganda amejikuta akizamishiwa msumari kwa nyundo mpaka kutoboka mdomo baada ya kupita mitaani huku akihubiri injili na kuimba wimbo wa mapambio unaomsifia Rais Museveni wa Uganda.

Mchungaji huyo alipiga kelele za kuomba asaidiwe baada ya kuvamiwa na vijana wakimhoji juu ya uhusiano wake na mtu anayewatesa ambaye ni Museveni.

Alijikuta yupo chini huku mdomo ukiwa umetapakaa damu na msumari ukisalia mdomoni.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...