Search This Blog
Wednesday, September 18, 2019
Mchungaji Agongelewa Msumari Mdomoni Kisa Kuimba Mapambio
Mchungaji mmoja nchini Uganda amejikuta akizamishiwa msumari kwa nyundo mpaka kutoboka mdomo baada ya kupita mitaani huku akihubiri injili na kuimba wimbo wa mapambio unaomsifia Rais Museveni wa Uganda.
Mchungaji huyo alipiga kelele za kuomba asaidiwe baada ya kuvamiwa na vijana wakimhoji juu ya uhusiano wake na mtu anayewatesa ambaye ni Museveni.
Alijikuta yupo chini huku mdomo ukiwa umetapakaa damu na msumari ukisalia mdomoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment