Search This Blog

Monday, September 23, 2019

Dkt. Ndumbaro afanya mazungumzo na Mwakilishi wa WHO


Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Damas Ndumbaro, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Dkt. Tigest Ketsela Mengestu. Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...