Search This Blog

Wednesday, September 4, 2019

Bondia Dullah Mbabe afika Bungeni, Waziri Mwakyembe ampongeza


Waziri Mwakyembe amempongeza Bondia Shaban Ramadhan (Dullah Mbabe) baada ya kuibuka mshindi wa Dunia katika ngumi za kulipwa na kushinda mkanda wa uzito wa kilo 76. Pongezi hizo amezitoa mapema jana wakati Bondia huyo alipofanya ziara Bungeni Jijini Dodoma.




No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...