Search This Blog

Sunday, August 18, 2019

VIDEO: Muki wa Makomanda Kafunguka Kifo cha Mbalamwezi ‘Vijana Tuache Tamaa’



Bado ni vichwa vya habari kuhusu simanzi na huzuni zinazoendelea kwenye tasnia ya muziki wa Bongo Fleva baada ya kufariki kwa msanii Mbalamwezi anaetokea katika kundi la The Mafik.

Sasa hapa tumempata msanii kutoka kundi la Makomando ‘Muki’ ambae kupitia Ayo TV amefunguka kuhusu kifo msanii mwenzake ‘Mbalamwezi’ na kuwaasa vijana kutulia kuacha tamaa kuwa na uvumilivu.


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...