Search This Blog

Tuesday, June 18, 2019

VIDEO: Usajili wa beki Kennedy wazua kizaazaa Simba, Manara atoa povu zito kwa mashabiki


Baadhi ya mashabikiwa klabu ya soka ya Simba wameonyesha kutofurahishwa na usajili mpya wa beki Keneddy Wilson Juma kutoka Singida United. Msemaji wa Simba Haji Manara ameshindwa kuvumilia maneno hayo ya mashabiki wao na kuamua kuwatolea povu zito.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...