Search This Blog

Sunday, June 23, 2019

Tanzania Yaanza Vibaya MICHEZO ya AFCON, Yachapwa Vibaya


Jana ilikuwa ni siku iliyosubiriwa na Watanzania mbalimbali kuona timu yao ya Taifa (Taifa Stars) ikicheza mechi yake vs Senegal kwenye michuano ya AFCON 2019 ambapo mpaka mpira unaisha matokeo ni Senegal 2-0 Tanzania, magoli ya Senegal yamefungwa na Balde kwenye dakika ya 28 na goli la pili limefungwa kwenye dakika ya 64 na Diatta

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...