Search This Blog
Sunday, June 23, 2019
Tanzania Yaanza Vibaya MICHEZO ya AFCON, Yachapwa Vibaya
Jana ilikuwa ni siku iliyosubiriwa na Watanzania mbalimbali kuona timu yao ya Taifa (Taifa Stars) ikicheza mechi yake vs Senegal kwenye michuano ya AFCON 2019 ambapo mpaka mpira unaisha matokeo ni Senegal 2-0 Tanzania, magoli ya Senegal yamefungwa na Balde kwenye dakika ya 28 na goli la pili limefungwa kwenye dakika ya 64 na Diatta
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...

No comments:
Post a Comment