Search This Blog

Saturday, June 15, 2019

Mwigulu Nmchemba "Kagere ni Mzee Tulicheza Wote Umiseta"


Mwigulu Nmchemba: "Ile klabu ambayo huwa inasajili wazee inanisumbua kweli hadi nimezima simu zote, maana Kagere tulicheza wote umiseta".

"Kama ilivyokuwa kwa Feitoto, nilimsajili kama sehemu ya mchango wangu kwa Yanga, mwaka huu litakuwepo jembe moja kabambe ambaye tayari tumeshamalizana tutamtangaza siku atakapokuja atafanya kazi kama Feitoto."



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...