Search This Blog
Sunday, June 9, 2019
Maskini Timu Yanga Yatoa Sababu 4 za Kutoshiriki Kimataifa
Klabu ya soka ya Yanga imeweka wazi kuwa haitashiriki michuano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati maarufu kama Kombe la Kagame, kwa mwaka 2019.
Yanga imejitoa kwenye michuano siku chache baada ya wapinzani wao Simba kufanya hivyo huku wao wakieleza sababu zao 4.
Kwa mujibu wa taarifa ya Yanga sababu hizo ni wachezaji kumaliza mikataba na kutokamilika kwa baadhi taratibu za usajili wa wachezaji wapya.
Sababu nyingine ni kuwa Kocha wao mkuu Mwinyi Zahera na wachezaji kuwa michuano ya AFCON 2019 nchini Misri. Pamoja na wachezaji waliobaki kuruhusiwa kwenda mapumzikoni.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Punguza kilo tano kwa siku saba
NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...


No comments:
Post a Comment