Search This Blog

Saturday, June 1, 2019

Bondia Anthony Joshua apigwa KO ya kwanza Marekani, Avuliwa mikanda yake yote ya ubingwa, Drake ahusishwa na kipigo


Bondia Anthony Joshua amepokea kipigo kitakatifu cha TKO kutoka kwa Andy Ruiz Jr katika raundi ya saba kwenye mchezo uliokuwa unasubiriwa kwa hamu.



Mchezo huo uliopigwa alfajiri ya kuamkia leo Juni 2 nchini Marekani, Umepelekea Joshua kupoteza mikanda yake ya ubingwa wa dunia ya WBA, WBO, IBF na IBO.

Hili ni pambano la kwanza kwa Joshua kupoteza kwa TKO.

Hata hivyo, kipigo hicho kimekuja baada ya Joshua kuonekana akiwa karibu na rapper Drake ambaye kwasasa watu wengi wanamuona kama mtu mwenye gundu.

No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...