Search This Blog

Thursday, May 30, 2019

Video: Mwanamke Mwenye Misuli zaidi Duniani



Natalia Kuznetsova ni mwanamke mwenye uraia wa Urusi aliyepata umaarufu mkubwa kutokana na taaluma yake ya kunyanyua vitu vizito na kumpelekea kuchukua tuzo 30 tofauti tofauti.

Akiwa mwenye umri wa miaka 14 aliamua kujiunga na kituo cha kunyanyua vitu vizito na miaka miwili baadae alipata ubingwa wa mashindano ya unyanyuaji vitu vizito katika mkoa wake.

Mwaka 2014 aliweka rekodi ya kunyanyua uzito wa kilo 169.644 na kumfanya kuwa bingwa Ulaya.

Tazama video hapa chini.



No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...