Search This Blog

Thursday, May 30, 2019

VIDEO: Dunia Imekwisha..Wakamatwa na Mafuta ya Binaadam/ Polisi Watinga kwa Mkemia Mkuu


Kamanda wa polisi Mkoa wa Tabora, Emmanuel Nley amethibitisha kukamatwa kwa watu wawili walio julikana kwa majina Swedi Haruna  na Mani Sabasaba mkoani Tabora wamekamatwa na mafuta ya binadam  yaliyokuwa yanatumika katika imani za kishirikina.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI:


No comments:

Post a Comment

Punguza kilo tano kwa siku saba

  NI watu wachache wanaopenda kunenepa, wengi wanapenda miili ya wastani kwa kuwa  unene si mzuri. Ukiwa mnene si tu kwamba unakaribisha m...